Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Ziara katika Shule ya Qur'an Tukufu, Zanzibar na tathmini ya Wanachuoni wa Qur'an mbele ya Mheshimiwa Dr. Ali Taqavi, Rais wa Al-Mustafa, Tanzania.

15 Aprili 2025 - 19:35

Katika Picha ni Wanafunzi wa Jamiat Al- Mustafa Zanzibar wakiwa katika Kikao cha Usomaji wa Qur'an, wakiongozwa na Msomaji Mashuhuri wa Qur'an Tukufu, Samahat Sheikh Muhammad Dossa.

Mheshimiwa Dr. Ali Taqavi, Rais wa Al-Mustafa, Dar-es-Salam -Tanzania, afanya Ziara katika Shule ya Qur'an Tukufu, Zanzibar

Your Comment

You are replying to: .
captcha